Mlango wa bahari

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mlango wa bahari
Remove ads

Mlango wa bahari (pia: mlangobahari, ing. strait) ni mahali ambako magimba mawili ya nchi kavu hukaribiana kwa pwani zao na kuacha nafasi kwa ajili ya bahari.

Thumb
Mlango wa bahari ya Gibraltar kati ya Afrika na Ulaya huuunganisha Mediteranea na Atlantiki

Mlango wa aina hii mara nyingi ni njia muhimu ya mawasiliano, usafiri na biashara. Milango ya bahari ina pia umuhimu wa kijeshi kwa sababu anayetawala mlango ana nafasi ya kuzuia au kuruhusu wengine watumie ama wasitumie njia hiyo.

Mifano ya milango ya bahari ni kama vile:

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads