Mlango wa bahari
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mlango wa bahari (pia: mlangobahari, ing. strait) ni mahali ambako magimba mawili ya nchi kavu hukaribiana kwa pwani zao na kuacha nafasi kwa ajili ya bahari.

Mlango wa aina hii mara nyingi ni njia muhimu ya mawasiliano, usafiri na biashara. Milango ya bahari ina pia umuhimu wa kijeshi kwa sababu anayetawala mlango ana nafasi ya kuzuia au kuruhusu wengine watumie ama wasitumie njia hiyo.
Mifano ya milango ya bahari ni kama vile:
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads