Mipango miji

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mipango miji
Remove ads

Mipango miji ni sayansi na sera kuhusu maendeleo ya kijamii, kiuchumi, kimazingira katika miji na vitongoji vyake. Mgiriki Hippodamus anasemekana kuwa ndiye baba wa mipango miji kutokana na ubunifu wake wa mji wa Miletus ingawa kumekuwa na miji iliyopangwa kabla yake.

Thumb
Mpango miji wa mji mkuu wa Minnesota
Thumb
Mpango mji

Taaluma ya mipango miji imechipuka toka kwenye taaluma za usanifu majengo na uhandisi.

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads