Mipango miji
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mipango miji ni sayansi na sera kuhusu maendeleo ya kijamii, kiuchumi, kimazingira katika miji na vitongoji vyake. Mgiriki Hippodamus anasemekana kuwa ndiye baba wa mipango miji kutokana na ubunifu wake wa mji wa Miletus ingawa kumekuwa na miji iliyopangwa kabla yake.


Taaluma ya mipango miji imechipuka toka kwenye taaluma za usanifu majengo na uhandisi.
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads