Mkoa wa Isparta
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Isparta ni jina la mkoa uliopo mjini kusini-magharibi mwa nchi ya Uturuki. Mikoa ya karibu na mkoa huu ni pamoja na Afyon kwa upande wa kaskazini-magharibi, Burdur kwa upande wa kusini-magharibi, Antalya kwa upande wa kusini, na Konya kwa upande wa mashariki. Mkoa unachukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 8,993 na jumla ya wakazi takriban 547,525 up kutoka 434,771 (1990). Mji mkuu wake ni Isparta.
Remove ads
Wilaya za mkoani hapa
Mkoa wa Isparta umegawanyika katika wilaya 13 (mji mkuu umekoozeshwa):
Viungo vya Nje
- Isparta City and Life Guide
- Isparta City Guide Ilihifadhiwa 5 Machi 2021 kwenye Wayback Machine.
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Isparta kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads