Mkoa wa Muş

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mkoa wa Muş
Remove ads

Muş (Kiarmenia: Մուշ Mush) ni jina la mkoa uliopo mjini mashariki mwa nchi ya Uturuki. Mkoa unachukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 8,196, na wakazi takriban 488,997 (makisio ya 2006). Awali wakazi walikuwa 453,654 mnamo 2000. Aina kubwa ya wakazi wa hapa ni Wakurdi.[1] Mji mkuu wakeni ni Muş.

Ukweli wa haraka Maeneo ya Mkoa wa Muş nchini Uturuki, Maelezo ...
Remove ads

Wilaya za mkoani hapa

Mkoa wa Muş umegawanyika katika wilaya 6 (mji mkuu umekoozeshwa):

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads