Mkonge Dume

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mkonge Dume
Remove ads

Mkonge dume au mkatani ni spishi ya mmea katika familia Asparagaceae unaokuzwa kwa ajili ya vitembwe vyake au katani.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Remove ads

Asili na uenezi

Mkonge dume una asili ya Meksiko lakini imesambazwa nchi nyingi za kitropiki kutokana na umuhimu wake wa kiuchumi, hasa zao la katani. Kuna mashamba makubwa kwenye kanda la pwani ya Afrika ya Mashariki. Kwa miaka mingi Tanzania iliongoza duniani katika zao hilo.

Picha

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkonge Dume kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads