Monte Fumaiolo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Monte Fumaiolo ni mlima wa Apenini katika nchi ya Italia (Ulaya Kusini). Unajulikana hasa kwa chanzo cha mto Tiber kilichotoka mlimani.
Urefu wake ni mita 1,407 juu ya usawa wa bahari.
Tazama pia
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads