Moses Tanui
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Moses Tanui (alizaliwa Sugoi, kaunti ya Nandi, Kenya 20 Agosti 1965) ni mwanariadha wa zamani wa Kenya wa mbio ndefu ambaye alishinda medali ya dhahabu ya mita 10,000 katika Mashindano ya Dunia mwaka 1991 katika Riadha huko Tokyo.
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads