Msamba

From Wikipedia, the free encyclopedia

Msamba
Remove ads

Msamba (lat.-ing. Perineum) ni sehemu ya mwili wa kibinadamu kati ya uke na mkundu upande wa mwanamke au scrotum na mkundu upande wa mwanaume. Urefu wake kwa mtu mzima ni takriban inchi 1.

Thumb
Musuli za msamba wa kike
Thumb
Musuli za msamba wa kiume

Ndani ya eneo la msamba kuna musuli a pekee zenye shughuli mbalimbali kwa ajili ya ngono na utoaji wa mkojo na kinyesi.

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads