Msikiti

From Wikipedia, the free encyclopedia

Msikiti
Remove ads

Msikiti ni mahali pa ibada kwa waumini wa dini ya Uislamu, ambapo lengo kuu ni kutekeleza wajibu wa sala chini ya imamu. Hata hivyo ukumbi unaweza kutumika pia kwa kuelimishana na kujadiliana, kama ilivyokuwa kwa masinagogi ya Wayahudi.

Thumb
Masjid al-Haram huko Maka, Saudia, ndio msikiti muhimu zadi katika Uislamu.

Waislamu wengi mara nyingi huita msikiti kwa kutumia jina la Kiarabu, ambalo ni masjid - مسجد — inatamkwa [ˈmæsʤɪd] (wingi wake ni: masajid kwa Kiarabu: مساجد — inatamkwa /mæˈsæːʤɪd/).

Kutoka Uarabuni misikiti imeenea duniani kote, ikiunganishwa mara nyingine na minara.

Baadhi yake inatumia sanaa ya hali ya juu.

Remove ads

Viungo vya Nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads