Mtefi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mtefi
Remove ads

Mtefi ni aina ya nafaka ulio na asili yake katika milima ya Uhabeshi. Sikuhizi hupandwa sana katika Uhabeshi na Eritrea na kidogo katika Uhindi na Australia. Mbegu zake zinaitwa matefi na hutumika kwa kutengeneza injera.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Remove ads

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads