Mtefi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mtefi ni aina ya nafaka ulio na asili yake katika milima ya Uhabeshi. Sikuhizi hupandwa sana katika Uhabeshi na Eritrea na kidogo katika Uhindi na Australia. Mbegu zake zinaitwa matefi na hutumika kwa kutengeneza injera.
Remove ads
Picha
- Masuke
- Uvunaji huko Uhabeshi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads