Mto Adda, Italia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mto Adda, Italia
Remove ads

Mto Adda ni wa nne nchini Italia, ukiwa na urefu wa kilomita 313.

Thumb
Mto Adda
Thumb
Mto Adda'

Unapita kaskazini mwa Italia kuanzia chanzo chake katika milima ya Alpi hadi kuingia katika mto Po.

Beseni lake huwa na eneo la km² 7,979.

Unapitia mkoa wa Lombardia tu.

Makala hii kuhusu maeneo ya Italia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mto Adda, Italia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads