Kwango

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kwango
Remove ads

Kwango (au Cuango) ni mto wa Angola na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambao ni pia tawimto mrefu wa mto Kasai.

Thumb
Mto Kwango
Ukweli wa haraka Mto Kwango (Cuango) ...

Chanzo chake kiko nyanda za juu za Bié katika Angola kikielekea kaskazini. Inakuwa mpaka kati ya Angola na Kongo halafu kuingia ndani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Inaishia kwenye mto Kasai karibu na mji wa Bandudu.

Remove ads

Tazama pia

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kwango kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads