Kwango
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kwango (au Cuango) ni mto wa Angola na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambao ni pia tawimto mrefu wa mto Kasai.

Chanzo chake kiko nyanda za juu za Bié katika Angola kikielekea kaskazini. Inakuwa mpaka kati ya Angola na Kongo halafu kuingia ndani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Inaishia kwenye mto Kasai karibu na mji wa Bandudu.
Remove ads
Tazama pia
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kwango kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads