Mto Potomac
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mto Potomac unapatikana mashariki mwa Marekani. Chanzo kiko katika jimbo la West Virginia inaishia katika hori ya Chesapeake kwenye bahari ya Atlantiki.

Una mwendo wa km 665 na beseni la km² 38,000.
Mto unapita Washington D.C., mji mkuu wa Marekani.
Wahispania walikuwa Wazungu wa kwanza kuutembelea mwaka 1570 hivi. Mnamo 1608, mto huo ulielezwa na kuchorwa na Kapteni John Smith. Kisha wafanyabiashara kutoka Virginia walianza kukaa huko.
Remove ads
Maelezo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads