Mto Yser

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mto Ysermap
Remove ads

Mto Yser (kwa Kifaransa: kwa Kiholanzi: IJzer) ni mto ambao una chanzokaskazini mwa Ufaransa. Unaingia Ubelgiji na hutiririka katika Bahari ya Kaskazini katika mji Nieuwpoort.

Ukweli wa haraka Yser/IJzer ...
Remove ads
Remove ads

Katika Ufaransa

Chanzo cha mto Yser ni Buysscheure, katika Nord département kaskazini mwa Ufaransa. Kisha unapitia Bollezeele, Esquelbecq, Bambecque na takriban 30 ya kilomita 78 zake hupitia Ufaransa kabla ya kuvuka mpaka katika Houtkerque.

Nchini Ubelgiji

Katika Ubelgiji Yser hupitia Diksmuide, na nje ya Bahari katika Kaskazini katika Nieuwpoort. Wakati wa vita vya Yser katika Vita Kuu vya Kwanza vya Dunia mto huu ulikuwa na mafuriko makusudi kutoka Nieuwpoort hadi Diksmuide ili kutoa kikwazo kwa jeshi la kijerumani.

Matawimito

  • Peene Becque, katika kaskazini ya Ufaransa
  • Sale Becque
  • Ey Becque
  • Zwyne Becque

Marejeo

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mto Yser kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads