Wilaya ya Musoma Vijijini

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wilaya ya Musoma Vijijini
Remove ads

Wilaya ya Musoma ni wilaya mojawapo kati ya 9 za Mkoa wa Mara yenye postikodi namba 31200.

Thumb
Mahali pa Musoma Vijijini (kijani cheusi) katika mkoa wa Mara.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 330,953 [1] na katika ile ya mwaka 2022, baada ya kumegwa, walihesabiwa 266,655 [2].

Marejeo

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads