Namungo F.C.
Klabu ya Mpira Kutoka Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Namungo Football Club ni klabu ya mpira wa miguu ya nchini Tanzania yenye makao yake katika Mkoa wa Lindi. Kwa sasa klabu inacheza Ligi Kuu Tanzania Bara, Ligi ya juu kabisa kwenye mfumo ya ligi wa Tanzania.[1]
Ina wachezaji mahiri kama vile Reliants Lusajo na Shiza Kichuya aliyesajiliwa kutoka timu kongwe na kubwa ya Simba.
Klabu hii ya mpira wa miguu pia inajulikana kwa jina la utani la Wauaji wa Kusini, ina zaidi ya wanachama 2000 na pia kuongozwa na meneja anayejulikana kwa jina la Hemedi Suleiman.
Klabu hii imeshika nafasi ya tano kwenye ligi kuu Tanzania bara 2021-22.
Michezo yao ya nyumbani inachezwa kwenye Uwanja wa Majaliwa.
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads