Niels Bohr

From Wikipedia, the free encyclopedia

Niels Bohr
Remove ads

Niels Henrik David Bohr (7 Oktoba 188518 Novemba 1962) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Denmark. Hasa alichunguza nadharia za atomu na kwanta. Mwaka wa 1922 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia. Mwana wake ni mwanafizikia Aage Bohr.

'

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Amefariki ...
Thumb
Thumb
Niels Bohr

Tangu 1997 elementi sintetiki ya Bohri imepewa jina lake kwa heshima ya Niels Bohr.

Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Niels Bohr kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads