Jimbo la Niger

From Wikipedia, the free encyclopedia

Jimbo la Niger
Remove ads

Jimbo la Niger ni jimbo lililoko upande wa magharibi mwa nchi ya Nigeria na ndilo jimbo kubwa nchini humo.

Maelezo zaidi Mahali pa jimbo nchini, Takwimu ...
Thumb
Mahali pa jimbo la Niger katika Nigeria

Mji mkuu wake ni Minna na miji mikubwa mingine ni Bida, Kontagora na Suleja. Liliundwa mwaka wa 1976 wakati Jimbo la Kaskazini Magharibi liligawanywa na kuunda majimbo ya Sokoto na Niger.

Jina la jimbo hili linatokana na Mto Niger, mbili kati ya stesheni kubwa za kutengezea nguvu za umeme za Nigeria. Bwawa la Kainji na Bwawa la Shiroro ziko katika Jimbo hili. Pia kuna Mbuga ya Kitaifa ya Kainji iliyo kubwa zaidi nchini Nigeria na ina Ziwa Kainji.

Remove ads

Serikali

Kama majimbo mengine ya Nigeria, linaongozwa na Gavana na Bunge. Chini ya utawala wa Aliyu Mu'azu Babangida tarehe 13, Januari 2000, jimbo hili lilipitisha sheria ya Sharia kama kanuni ya sheria, ingawa idadi ya wakazi wa jimbo imekuwa kihistoria sawa kati ya Waislamu na Wakristo.

Maeneo ya Utawala

Thumb
Gurara Falls, kando ya mto Gurara kwenye jimbo la Niger Stat.


Jimbo la Niger limegawanywa katika Maeneo 25 ya Serikali za Mitaa.

  • Agaie
  • Agwara
  • Bida
  • Borgu
  • Bosso


  • Chanchaga
  • Edati
  • Gbako
  • Gurara
  • Katcha


  • Kontagora
  • Lapai
  • Lavun
  • Magama
  • Mariga


  • Mashegu
  • Mokwa
  • Munya
  • Paikoro
  • Rafi


  • Rijau
  • Shiroro
  • Suleja
  • Tafa
  • Wushishi
Remove ads

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads