Njia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Njia
Remove ads

Njia ni sehemu au eneo wazi jembamba ambalo hutumiwa na watu, wanyama au magari kupita, lakini pia namna au mbinu ya kufanya kazi au kutatua tatizo fulani.

Thumb
Njia ya milimani huko Wilaya ya Shaharah, Yemen.

Mithali maarufu ya Kiswahili inasema, "Penye nia pana njia".

Katika Ukristo

Yesu alifundisha kufuata njia nyembamba inayopeleka uzimani kuliko ile pana inayofikisha upotevuni (Math 7:13-14).

Zaidi ya hayo, mwenyewe alijitangaza kuwa njia pekee ya kumfikia Baba (Yoh 14:6).

Kadiri ya Matendo ya Mitume, Ukristo uliitwa kwanza "Njia" (22:4).

Tazama pia

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads