Norfolk

From Wikipedia, the free encyclopedia

Norfolk
Remove ads

Norfolk ni wilaya ya Uingereza kusini-mashariki. Imepakana na Bahari ya Kaskazini upande wa mashariki halafu na wilaya za Lincolnshire, Cambridgeshire na Suffolk.

Thumb
Mahali pa Norfolk nchini Uingereza

Asili la jina ni zamani za Waanglia katika Uingereza waliokuwa na vitengo viwili yaani "Watu wa kaskazini" (northern folk = Norfolk) na watu wa kusini (southern folk = Suffolk).

Makao makuu ya wilaya ni mji wa Norwich. Wilayani kuna wakazi 816,500.

Remove ads

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads