Norfolk
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Norfolk ni wilaya ya Uingereza kusini-mashariki. Imepakana na Bahari ya Kaskazini upande wa mashariki halafu na wilaya za Lincolnshire, Cambridgeshire na Suffolk.

Asili la jina ni zamani za Waanglia katika Uingereza waliokuwa na vitengo viwili yaani "Watu wa kaskazini" (northern folk = Norfolk) na watu wa kusini (southern folk = Suffolk).
Makao makuu ya wilaya ni mji wa Norwich. Wilayani kuna wakazi 816,500.
Remove ads
Viungo vya Nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads