Northumberland

From Wikipedia, the free encyclopedia

Northumberland
Remove ads

Northumberland ni kaunti ya Uingereza iliyopo kwenye mpaka wa Uskoti. Jina limetokana na mahali pake upande wa kaskazini wa mto Humber. Ni sehemu ya mkoa wa Uingereza Kaskazini-Mashariki.

Thumb
Eneo la Northumberland

Ina eneo la km² 5,013 na idadi ya wakazi ni 316.116[1]. Makao makuu ya mkoa yapo kwenye mji mdogo wa Morpeth mwenye wakazi 13,833. Ngome ya Chillingham Castle iko hapa.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads