Octavio Paz

From Wikipedia, the free encyclopedia

Octavio Paz
Remove ads

Octavio Paz (31 Machi 191419 Aprili 1998) alikuwa mshairi na mwanasiasa kutoka nchi ya Mexiko. Tangu mwaka wa 1945 alifanya kazi kama balozi kwa ajili ya nchi yake. Mwaka wa 1990 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Octavio Paz kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Thumb
Thumb
Octavio Paz
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads