Oklahoma City Thunder

Timu ya Kimarekani ya mpira wa kikapu yenye makao yake Oklahoma City, Marekani From Wikipedia, the free encyclopedia

Oklahoma City Thunder
Remove ads

Oklahoma City Thunder ni timu ya kulipwa ya mpira wa kikapu kutoka mjini Oklahoma City, Oklahoma. Wanachezea katika Chama cha Mpira wa Kikapu nchini Marekani. Vinara wao waliopo kwa sasa ni pamoja na Chris Paul. Timu ilianzishwa mnamo mwaka wa 1967.

Thumb
Uwanja wa Nishati wa Chesapeake ulianza kuwa mwenyeji wa Oklahoma City Thunder mnamo 2008.
Ukweli wa haraka
Remove ads

Viungo vya Nje

Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Oklahoma City Thunder kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads