Orson Welles

From Wikipedia, the free encyclopedia

Orson Welles
Remove ads

George Orson Welles (6 Mei 1915 - 10 Oktoba 1985), anafahamika kama Orson Welles, alikuwa mwongozaji wa filamu wa Marekani, mwandishi, mwigizaji na mtayarishaji, ambaye alifanya kazi sana katika filamu, maonyesho, televisheni na redio. Welles alikuwa pia ni mchawi aliyetimia, nyota katika vikosi mbalimbali vya usalama katika miaka ya vita.

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Amekufa ...
Remove ads

Viungo vya nje

Ukweli wa haraka
Ukweli wa haraka
Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Orson Welles kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads