Patrick Cullinan

Mshairi wa Afrika Kusini From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Patrick Roland Cullinan (amezaliwa 25 Mei 1933 mjini Pretoria) ni mwandishi wa Afrika Kusini. Alisoma Kiingereza katika Chuo Kikuu cha Oxford, Uingereza, akawa mkufunzi wa lugha ya Kiingereza mjini Cape Town. Hasa alitunga mashairi.

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Amekufa ...
Remove ads

Vitabu vyake

  • Today is not different (1978)
  • White Hail in the Orchard (1984)
  • Selected Poems (1994)

Angalia pia

Marejeo

  • Chapman, Michael. 2003. Southern African Literatures, University of Natal Press. ISBN 1-86914-028-1
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Patrick Cullinan kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads