Yesu kushushwa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Yesu kushushwa
Remove ads

Yesu kushushwa kutoka msalabani mara baada ya kufa na kupakatwa na mama yake, Bikira Maria, ni tukio lililofikiriwa na wafuasi wake wengi na kuchorwa au kuchongwa na wasanii mbalimbali kwa ufanisi mkubwa.

Thumb
Pietà ya Michelangelo katika Basilika la Mt. Petro, 14981499.

Maarufu zaidi ni sanamu ambayo ilichongwa katika marumaru na Michelangelo Buonarroti na inatunzwa katika basilika la Mtume Petro huko Vatikani.

Aina hiyo ya sanaa inaitwa kwa kawaida "Pietà", neno la Kiitalia linalomaanisha huruma.

Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads