Rangi ya waridi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Rangi ya waridi au pinki (kutoka ing. pink) ni nyekundu isiyoiva yenye nyeupe ndani yake.

Katika tamaduni kadhaa hutazamiwa kama rangi ya kike.
Maua ya waridi huwa na rangi hii kiasili lakini kuna pia waridi yenye rangi tofauti.

Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads