Porto Alegre

From Wikipedia, the free encyclopedia

Porto Alegre
Remove ads

Porto Alegre ni jina la mji mkuu wa jimbo la Rio Grande do Sul katika Brazil. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2008, mji una wakazi wapatao milioni 4 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 10 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Thumb
Mji wa Porto Alegre
Ukweli wa haraka Nchi, Kanda ...
Thumb
Remove ads

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Brazil bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Porto Alegre kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads