Pozi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Pozi
Remove ads

Pozi ni mkao wa kuchorwa au kupigwa picha kwa kuwa katika staili mbalimbali. Staili hiyo inaweza kuwa ya kanisani, sokoni, dukani, huzuni, furaha n.k.

Makala hii kuhusu "Pozi" ni fupi mno. Inahitaji kupanuliwa mapema.
Thumb
Mtoto wa Kiafrika akiwa katika pozi kwa ajili ya kupigwa picha
Thumb
Vijana wakiwa katika mkao wa kula wakati wakipati kifungua kinywa
Thumb
Mpiga picha akiwa katika pozi la kupiga picha
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads