Raketi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Raketi (ing. racket) ni kifaa cha michezo kinachotumiwa kupiga kiolwa kama mpira.


Inatumiwa kwa michezo kama vile squash, tennis, mpira wa meza na badminton.
Huwa na sehemu ya kuishikilia kwa mkono na sehemu pana kwa kupiga mpira.
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads