Rutilio

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Rutilio (alifariki 250) alikuwa Mkristo wa Afrika Kaskazini aliyetumia kila mbinu asikamatwe wakati wa dhuluma ya Decius, kaisari wa Dola la Roma, lakini hatimaye alikubali kuteswa na kuchomwa moto kwa imani yake [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Agosti[2][3].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads