Mji wa Ho Chi Minh

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mji wa Ho Chi Minh
Remove ads

Mji wa Ho Chi Minh (Kivietnam: Thành phố Hồ Chí Minh, Sài Gòn) ni mji mkubwa nchini Vietnam mwenye wakazi zaidi ya milioni 7,1. Iko katika kusini ya taifa hili. Hadi 1975 ilijulikana kwa jina la Saigon ikiwa ni mji mkuu wa nchi ya Vietnam Kusini. Baada ya kutwaliwa na jeshi ka Vietnam Kaskazini ukapewa jina jipya kwa heshima ya kiongozi ya kaskazini marehemu Ho Chi Minh.

Ukweli wa haraka Habari za kimsingi, Mahali ...
Thumb
Kanisa Kuu ya Mji wa Ho Chi Minh
Remove ads

Tazama pia

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads