Saint Kitts na Nevis

From Wikipedia, the free encyclopedia

Saint Kitts na Nevis
Remove ads


Saint Kitts na Nevis ni nchi ya visiwani kwenye visiwa viwili vya Bahari ya Karibi na nchi ndogo kabisa ya Amerika yote.

Ukweli wa haraka


Thumb
Ramani ya St. Kitts na Nevis

Mji mkuu wa Basseterre uko kwenye kisiwa cha Saint Kitts. Kisiwa kidogo cha Nevis (kutoka jina la zamani la Kihispania: Nuestra Señora de las Nieves) kipo km 3 kusini-mashariki kwa Saint Kitts.

Zamani pia kisiwa cha Anguilla kiliunganishwa na visiwa hivi kuwa koloni moja la Uingereza.

Remove ads

Watu

Wakazi ni 54,961: wengi wana asili ya Afrika (75.1%) au ni machotara Wafrika-Wazungu (12.3%).

Lugha rasmi ni Kiingereza, lakini ile ya kawaida ni Krioli.

Upande wa dini, 82.4% ni Wakristo wa madhehebu mbalimbali, kuanzia Waanglikana na Wamethodisti.

Tazama pia

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Serikali
Taarifa za jumla
Ramani
Utalii
Habari
Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Saint Kitts na Nevis kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads