Santiago de Chile
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Santiago de Chile ni mji mkuu wa nchi ya Chile. Mji ni sehemu ya kanda la mji mkuu (Región Metropolitana) inayojumlisha pamoja na mkoa wa Santiago mikoa mitano mingine. Santiago yenyewe ni jina la sehemu penye kitovu cha mji na mitaa ya serikali penye watu 202,000 tu.
Santiago ni kitovu cha kiuchumi na kisasa ya nchi hata kama Bunge lakutana mjini Valparaiso.
Remove ads
Viungo vya nje
- (Kihispania) Santiago de Chile tovuti rasmi Ilihifadhiwa 20 Mei 2012 kwenye Wayback Machine.
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Amerika Kusini bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Santiago de Chile kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads