Schiphol

From Wikipedia, the free encyclopedia

Schiphol
Remove ads

Schiphol ni uwanja wa ndege wa kimataifa wa Amsterdam nchini Uholanzi. Ni kati ya nyanja za ndege kubwa duniani ukiwa na abiria zaidi ya milioni 46 wanaopita humo na hii ni nafasi ya nne ya Ulaya na nafasi ya 12 duniani.

Thumb
Geti kuu ya Schiphol

Jina kamili kwa Kiholanzi ni Luchthaven Schiphol au kwa Kiingereza Amsterdam Airport Schiphol. Kifupi chake ni AMS.

Ni kituo kikuu cha KLM.

Uwanja huu upo kilomita 17.5 kusini kwa Amsterdam na safari kwa treni kutoka mjini ni dakika 20.

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads