Shikoku
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Shikoku (四国) ni kisiwa kikubwa cha tatu nchini Japani na kisiwa cha kusini kati ya visiwa vikubwa vinne vya nchi. Neno shikoku lamaanisha "mikoa nne" iliyohesabiwa zamani kisiwani.


Idadi ya wakzi ilikuwa 4,128,476 mnamo mwaka 2006.
Tazama pia
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads