Madini silikati
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Madini silikati ni madini yanayounda miamba mbalimbali. Yote yanaundwa na anioni zenye silikoni na oksijeni. Ndilo kundi kubwa na muhimu zaidi katika madini yote likifanya karibu asilimia 90 za ganda la Dunia. [1] [2] [3]
Silika (dioksidi ya silikoni) SiO2 kawaida huhesabiwa kuwa madini silikati. Silika hupatikana katika maumbile kama shondo na maumbo yake.

Remove ads
Muundo wa jumla
Madini silikati kimsingi ni kampaundi ya ioni ilhali anioni zake huwa na atomi za silikoni na atomi za oksijeni.
Katika madini mengi kila atomi ya silikoni iko katikati ya kitovu cha piramidi pembetatu (tetrahedron), ambako pembe zake ni atomi za oksijeni nne.
Remove ads
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads