Madini silikati

From Wikipedia, the free encyclopedia

Madini silikati
Remove ads

Madini silikati ni madini yanayounda miamba mbalimbali. Yote yanaundwa na anioni zenye silikoni na oksijeni. Ndilo kundi kubwa na muhimu zaidi katika madini yote likifanya karibu asilimia 90 za ganda la Dunia. [1] [2] [3]

Silika (dioksidi ya silikoni) SiO2 kawaida huhesabiwa kuwa madini silikati. Silika hupatikana katika maumbile kama shondo na maumbo yake.

Thumb
Muundo wa msingi wa anioni ya SiO4. Mpira wa kijivu unawakilisha atomi ya silikoni, na mipira myekundu ni atomi za oksijeni.
Remove ads

Muundo wa jumla

Madini silikati kimsingi ni kampaundi ya ioni ilhali anioni zake huwa na atomi za silikoni na atomi za oksijeni.

Katika madini mengi kila atomi ya silikoni iko katikati ya kitovu cha piramidi pembetatu (tetrahedron), ambako pembe zake ni atomi za oksijeni nne.

Maelezo zaidi Kikundi kikuu, Muundo ...
Remove ads

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads