Alpi za Kusini

From Wikipedia, the free encyclopedia

Alpi za Kusini
Remove ads

Alpi za Kusini ni safu ya milima nchini New Zealand. Safu hii inaenea urefu wote wa Kisiwa cha Kusini.

Thumb
Alpi za Kusini.

Kilele kirefu zaidi cha Alpi za Kusini ni Aoraki (Mount Cook) ambayo imefikia kimo cha mita 3,754. [1]

Jina lilibuniwa na nahodha James Cook tarehe 23 Machi 1770: alipoona milima hiyo mirefu alikumbushwa milima ya Alpi ya Ulaya. [2]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads