Theodori wa Pavia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Theodori wa Pavia (alifariki Brescia, Lombardia, Italia 778 BK) anakumbukwa kama askofu wa mji huo wa Italia Kaskazini kuanzia mwaka 740 hivi hadi kifo chake, ingawa alifukuzwa mara kadhaa na watawala Walombardi [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads