Theodoriki Mkuu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Theodoriki Mkuu
Remove ads

Theodoriki Mkuu (454 - 30 Agosti 526) alikuwa mfalme wa Waostrogoti kuanzia mwaka 474. Ndiye aliyewaongoza kuteka Italia na kufikia mwaka 523 alitawala hadi Bahari ya Atlantiki.

Thumb
Theodoriki Mkuu.
Thumb
Dola la Theodoriki mwaka 523: rangi nyekundu inaonyesha maeneo aliyoyatawala mwenyewe, ile ya pink maeneo yaliyokuwa chini ya himaya yake.

Tanbihi

Vyanzo

Marejeo mengine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads