Triglav

From Wikipedia, the free encyclopedia

Triglav
Remove ads

Triglav ni mlima wa Alpi katika nchi ya Slovenia (Ulaya).

Thumb
Mlima Triglav

Urefu wake ni mita 2,864 juu ya usawa wa bahari, hivyo unazidi milima yote ya nchi hiyo.

Tazama pia

Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Triglav kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads