Tungurahua
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Tungurahua ni mlima wa Andes wenye asili ya volikano ulioko katika nchi ya Ekwador (Amerika Kusini).

Urefu wake ni mita 5,023 juu ya usawa wa bahari.
Tazama pia
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads