Tupa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Tupa ni neno la Kiswahili linaloweza kumaanisha:

  • Tupa (kifaa) – ni kifaa kinachotumika kunolea vitu vyenye ncha kali kwa mfano kisu, panga au jembe.
  • Tupa (nyoka) – ni spishi za nyoka katika familia Lamprophiidae.
  • Tupa (kitenzi) – ni tendo la kurusha kitu na kukiacha hapo.
Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana

Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads