Ubadilishaji msimbo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Ubadilishaji msimbo ni kitendo cha mtu anayezungumza lugha fulani kumalizia tungo kwa lugha nyingine ambayo ni tofauti na aliyoanzia kuzungumza. Hali hii hutokana na uwililugha; yaani mtu kuwa na ujuzi wa lugha mbili sawasawa.
![]() |
Makala hii kuhusu "Ubadilishaji msimbo" ni fupi mno. Inahitaji kupanuliwa mapema. |
Mfano wa ubadilishaji msimbo:
- Jabari anakwenda shule everyday.
- I like my mama anayenipenda pia.
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads