Uhuru
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Uhuru (kwa Kiingereza freedom) ni hali ya kuweza kufanya mambo bila kuingiliwa na yeyote au hali yoyote.
Unaweza kumhusu mtu binafsi hadi nchi nzima.
Uhuru humwezesha mtu kujitawala kiakili, kidini na kimaadili.
Tazama pia
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads