Ukuaji

ukarasa wa maana wa Wikimedia From Wikipedia, the free encyclopedia

Ukuaji
Remove ads

Ukuaji (kwa Kiingereza "growth") ni mchakato wa kuongezeka au kuonyesha mabadiliko katika maumbile au mwonekano ule uliokuwepo awali.

Thumb
Ukuaji wa mmea.
Thumb
Ukuaji wa mmojawapo kati ya miji ya Chile.

Ukuaji unajumuisha mambo yafuatayo:

(a) Mabadiliko katika tabia

(b) Mabadiliko katika sifa

Ukuaji mara nyingi au moja kwa moja hutokea kwa Viumbe hai. Viumbe hai ndio wenye uwezo wa kuonyesha mabadiliko katika tabia na sifa zao kijumla.

Kwa mfano wao, hata miundo inaweza kusemwa kuwa inakua.

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads