Najisi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Najisi ni kitu chochote ambacho ni kichafu na hakifai katika mwili wa binadamu.

Suala la unajisi lilitiwa maanani sana katika Agano la Kale, na hasa katika madhehebu ya Mafarisayo wakati wa Yesu Kristo.

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads