Najisi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Najisi ni kitu chochote ambacho ni kichafu na hakifai katika mwili wa binadamu.
Suala la unajisi lilitiwa maanani sana katika Agano la Kale, na hasa katika madhehebu ya Mafarisayo wakati wa Yesu Kristo.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads