Uranometria

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Uranometria ni kitabu cha ramani ya nyota kilichotolewa mnamo mwaka 1603 na mwanaastronomia Mjerumani Johann Bayer. Kwa jumla kulikuwa na ramani 51 zilizoonyesha makundinyota yote yaliyojulikana wakati ule pamoja na makundinyota 12 ya angakusi yaliyobuniwa na Pieter Dirkszoon Keyser.

Kitabu hiki kilikuwa muhimu kwa kusambaza mfumo wa majina ya nyota uliobuniwa na Bayer na kutumiwa hadi leo kama Majina ya Bayer (Bayer designation).

Remove ads

Marejeo ya Nje

Ukweli wa haraka
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads