Usingizi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Usingizi
Remove ads

Usingizi (kwa Kiingereza "sleep") ni hali ya binadamu na wanyama kupumzika kwa mwili na akili.

Thumb
Mtu akiwa amelala usingizi huko Ouagadougou, Burkina Faso.

Usingizi hutokea wakati mapigo ya moyo na upumuaji hupungua kwa ngazi zao za chini. Misuli yako inatulia na inaweza kuwa vigumu kukuamsha. Huwa hujitambui wala hujitawali sawasawa.

Tanbihi

Loading content...

Viungo vya nje

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads