Utarakilishi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Utarakilishi
Remove ads

Utarakilishi (kwa Kiingereza : "computing") ni utendaji unaotumia tarakilishi kwa kudhibiti na kuwasilisha taarifa[1]. Vifaa na programu tete ni ndani ya utarakilishi. Utarakilishi ni muhimu katika teknolojia ya leo.

Thumb
Tarakilishi za chuo kikuu cha James Madison.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads